Siku ya Juzi Jumapili ilikuwa ni siku ya Furaha kwa Erick Brighton wa Praise Power Radio na Mkewe, baada ya kufunga Ndoa na Kuunganishwa kuwa Mwili mmoja. Ndoa ilifungwa katika Kanisa la Mikocheni B Assemblies of God na Kufuatiwa na Tafrija ya Kuwapongeza Maharusi hao iliyofanyika katika Ukumbi wa Banora-Mlimani City. Mc wa Shughuli hii alikuwa ni Mzee wa Gospel Music ya Channel Ten, Boniphace Magupa. Tazama jinsi mambo yalivyokuwa pale ukumbini………
Erick na Mkewe
High Table ya familia ya Erick Brighton
Baba Mzazi wa Erick Brighton
Mama Mzazi wa Bibi Harusi
Kuhoto ni Mdogo wa Erick Brighton
Martha Mwaipaja akiwa na Mumewe
Mc Boniphace Magupa akiwa na Jessica Honore
Mambo ya Mlo hayoooo!!!
Wafanyakazi wa Praise Power Radio wakipata Picha ya Pamoja
Baadhi ya Wadau waliofika kushuhudia Harusi hiyo
Baadhi ya Wanakamati ya Maandalizi. Sailas Kushoto na Mwenyekiti Noel Tenga
Kamati ya Maandalizi ya Harusi ikipata Picha ya Pamoja na Maharusi
Picha ni Kwa Hisani ya Uncle Jimmy
BLOG HII INAWATAKIA MAISHA MEMA NA YA FURAHA, KATIKA MAISHA MAPYA MLIYOANZA!!!
Watumie rafiki zako kupitia;
Related
Congratulation mzee wa kesha na Praise power. Dawa ya ndoa ni kupendana, mabembelezo, msamaha, na mwisho mdumu katika sala.
Mimi Patra nawatakia maisha mema yenye amani na furaha, Mungu awajalie mzae watoto wakue katika hekima na kimo, na wawe wacha Mungu.
walipendeza sana